SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA JAMII
TANZANIA

HEKIMA NA UMOJA, USHINDI NA USHUJAA SMAUJATA

Kuhusu sisi

SMAUJATA ni jumuiya ya kijamii ambayo imesajiliwa chini ya sheria ya asasi za kiraia (CAP .337 RE 2022) kwa usajili namba S.A.23969, SMAUJATA ilianzishwa na shujaa Sospeter Mosewe Bulugu mwaka 2022 kwa lengo la kuchochea mabadiliko chanya na kuleta   maendeleo endelevu kijamii na kiuchumi.

Scroll to Top